John 11:44
44 aYule aliyekuwa amekufa akatoka nje, mikono yake na miguu yake ikiwa imeviringishiwa vitambaa vya kitani na leso usoni pake. Isa akawaambia, “Mfungueni, mwacheni aende zake.”Shauri La Kumuua Isa
(Mathayo 26:1-5; Marko 14:1-2; Luka 22:1-2)
Copyright information for
SwhKC