John 11:44

44 aYule aliyekuwa amekufa akatoka nje, mikono yake na miguu yake ikiwa imeviringishiwa vitambaa vya kitani na leso usoni pake.

Isa akawaambia, “Mfungueni, mwacheni aende zake.”

Shauri La Kumuua Isa

(Mathayo 26:1-5; Marko 14:1-2; Luka 22:1-2)

Copyright information for SwhKC